Sunday, June 1, 2014

Unajuwa Nini Kuhusu Freemasons? Leo Nakutajia Mitume Kumi Na Wanane Wa freemasons..

Na Mathayo T Ngotee
Charta Ya Freemasons

Freemasons au Illuminati kama inavyojulikana na watu wengi nchini Kenya Ni dini Iliyokuwa kwa kasi kubwa sana katika karne ya 21. Dini hii imesambaa kote ulimwenguni kwa kasi kubwa sana. Dini hii imewateka watu wa rika mbalimbali wenye ulafi wa utajiri.

Katika vitabu vingi vya freemasons mitume walioandikwa wametoka katika kitabu takativu cha biblia. Nadhani hili halitakuwa na ubishi ukitegemea kuwa hawa freemasons chanzo chao ni kutokana kwa kuasi dini ya ukristo na kuanzisha dini yao.

Jumba La Freemasons
Dini hii ya freemasons ilitokana na wajenzi waliokuwa wakijenga kanisa la katoliki huko Roma Italia. Dini hii imekuwa dini ya siri kuliko dini zingine zote duniani. Dini hii inaarifiwa kuwa wengi waliomo ndani ni matajiri wakutupwa pia wanasiasa wengi duniani ni wafuasi wa dini hii ya siri.

 Pia kunaarifiwa kuwa watu wengi mashuhuri ni wafuasi wa dini hii iliyoenea Afrika mashariki pia, Viongozi wengi wa afrika mashariki wameripotiwa kuwa wafuasi wa dini hii. Watu Maarufu ulaya na Afrika Wapo,Vilabu vya soka,na Wanamuziki wengi wapo katika dini hii inayojiita The Secret Group.

Katika Makala Haya Nitawataja Mitume hao Kumi na wanane wanaopendwa na kudhaminiwa zaidi katika dini hiyo ya freemasons...

Listi ya Kwanza ni wale wakuu ambao wako nane
1.Joshua
2.Waamuzi
3.Samweli Wa Kwanza
4.Wafalme wa Kwanza
5.Wafalme wa Pili
6.Isaya
7.Yeremia
8.Ezekiel

Na Mitume wengineo ni
9.. Hosea
10.Amos
11.Obadia
12.Joeli
13.Yona
14.Mika
15.Nehemia
16.Habakuki
17.Zephania na
18.MAlaki

Kwa Hivyo basi kwa hitimisho hawa ndio mitume kumi na wanane wa Freemasons. Nipende kuwaambia kwa wale wakristo msishangae kuwa kunakuwaje wawe wa kutoka kwenye biblia ni kwamba ukweli kwamba freemasons ni wakatoliki walioasi dini. Pia Biblia ni kitabu kinachotumika na freemasons.

0 maoni:


Copyright © 2014. Mchimba Riziki- All Rights Reserved

Map

Live score