Monday, July 7, 2014

Angalia Hali Ilivyo Katika Jiji La Nairobi Hivi Leo 7/7/Day

Wanausalama Wakimsachi Mfuasi wa CORD Kabla Ya Kuingia Uwanjani

Vijana Wa CORD Wakiandamana Kabla Ya Mkutano Kuanza


Wanausalama Wakiwa Kila Kona Kuhakikisha Usalama Katika Uwanja Wa Uhuru Park
Kwa hapa Chini Jaribu Kuangalia Video Ya Vijana Walioandamana Kabla Ya Mkutano Wa Cord Kuanza Hii Leo.
Zaidi Ya Maafisa Usalama 15000 Waliwekwa Katika Mwa Jiji Kwa Ajili Kulinda Usalama.

0 maoni:


Copyright © 2014. Mchimba Riziki- All Rights Reserved

Map

Live score