Friday, February 28, 2014

Facebook, Instagram na WhatsApp Kusitisha Huduma Zao Uganda






Makampuni makubwa tatu ya mitandao ya kijamii maarufu kama Facebook,Instagram na WhatsApp zimetishia kwamba zinaweza kusitisha huduma zao nchini Uganda,Hayo yalisemwa mnamo tarehe 25 mwezi wa pili mwaka huu 2014.

Hayo yalikuja baada ya rais wa Uganda Mheshimiwa Yuheri Kaguta Museveni kusaini mswada uliowasilishwa kwake na bunge na kuifanya kuwa sheria ya kupingana na vitendo vya kishoga.

Mataifa makubwa yenye uwezo kiuchumi yameitishia Uganda kutowapa misaada kwa sababu ya kuruhusu sheria hiyo mpya ya kukataa ushoga, Marekani ndio iko mstari wa mbele kuikandamiza Uganda isipitishe sheria hiyo lakini Rais Museven alikaidi amri hiyo.


Hii ni mojawapo ya malalamiko kutoka kwa wamiliki wa mitandao hayo:
STATEMENT FROM FACEBOOK ON ANTI-HOMOSEXUALITY LAW
When we launched Facebook, we thought it as a platform to advance people’s rights and liberties of self expression in all form. We were equally shocked to learn that Uganda as a country had gone ahead to sign the Anti Homosexuality bill into a law.
Facebook is currently reviewing its engagement to Uganda, as we seek to come up with a voice to express our dissatisfaction. And of course, suspending our operations in Uganda is one of the options we are considering. In the event that we suspend operations in Uganda, our platforms of Instagram, Facebook and Whatsapp will be off for a time we shall deem necessary.
We strongly condemn the act of the Ugandan Government to overstep the rights of a minority. All humans are created equal and deserve a right to freedom and happiness.
Signed
Sheryl Kara Sandberg 
Chief Operations Officer (COO) At Facebook




mchimba riziki

0 maoni:


Copyright © 2014. Mchimba Riziki- All Rights Reserved

Map

Live score