Friday, June 13, 2014

Cameroon Yagaragazwa na Mexico. Yachapwa Mbele Ya Umma..

Matokeo yalivyo
Kombe la Dunia limeendelea leo usiku wakati mechi moja imekamilika mda mchache uliopita.
Timu zilizokuwa kibaruani leo hii ni Mexico Vs Cameroon.Timu zote zimecheza kwa kukamiana sasa ambapo zilitoka sare kipindi cha kwanza.

Katika kipindi cha pili dakika ya 69 Mexico walipata bao la kuongoza. Timu zote zilicheza mchezo wa kusoma mda mrefu. Hadi kipindi cha pili ama dakika tisini yakiisha ni Mexico 1:0 Cameroon.

Kwa matokeo hayo basi yanaacha msimamo wa wa Kundi A iki hivi
1. Brazil Pointi Tatu Na Mabao Matatu
2. Mexico pointi tatu na bao moja
3. Cameroon hawana pointi wakidaiwa goli moja na 
4. Crotia ni ya nne ikiwa haina pointi yoyote ile ikidaiwa magoli mawili.

Msimamo Katika Kundi A
Mfumo wa Cameroon ulivyokuwa
Mfumo walioutumia Mexico
Zifuatazo Hapa Chini ni baadhi ya picha ya mtanange huo wa Mexico Vs Cameroon.
Kocha Wa Mexico
Alex Song Akipambana na Washambuliaji wa Mexico
Mashabiki wa Mexico
Wachezaji wa sub wa Mexico Wakishangiilia goli Hernands yumo
Mashabiki wa Mexico Wakiisapoti timu yao
Mabeki wa Cameroon Wakifanya kazi ya ziada
Alex Song Akipambana
Mshambuliaji wa Mexico akikaza msuli 
Mashabiki wa Cameroon nao wakishangilia timu yao
Mabeki Wa Cameroon Wakimzuia Mshambuliaji wa Mexico
Song Kazini
Mshambuliaji Giovan akilalamika 
Samuel Etoo Akipiga shuti
Marudio Ya Goli lililokataliwa na refa
Mshambuliaji wa Mexico akijaribu kumtoka beki wa cameroon

0 maoni:


Copyright © 2014. Mchimba Riziki- All Rights Reserved

Map

Live score