Monday, June 16, 2014

Simanzi Kenya, Al-shabab Yashambulia Mpeketoni Lamu Watu Kadhaa Waripotiwa Kuuwawa

Kuna Habari Ya Simanzi Iliyotokea Usiku Wa Jana.

Wanamgambo Wa Al-shabab Waliuteka Sehemu Ya Mji Wa Lamu iitwayo #Mpeketoni.
Habari Kutoka Huko Ni Kwamba Watu Wafikao 26 Wameaga Baada Ya Kushambuliwa wakiwa Hotelini.

Majamaa Wenye Risasi Walivamia Hoteli Mbili huko #Mpeketoni na Kuwaua watu hao.
Hayo Yalisemwa Na Deputy Commissioner Wa Eneo Hilo.

Poleni Sana Wakenya Na Mungu Awatie Nguvu Familia Za Jamaa Walioaga.

Kwa Habari Zaidi Zitakujia Kupitia Mchimbariziki.com

0 maoni:


Copyright © 2014. Mchimba Riziki- All Rights Reserved

Map

Live score