Kuna Habari Ya Simanzi Iliyotokea Usiku Wa Jana.
Wanamgambo Wa Al-shabab Waliuteka Sehemu Ya Mji Wa Lamu iitwayo #Mpeketoni.
Habari Kutoka Huko Ni Kwamba Watu Wafikao 26 Wameaga Baada Ya Kushambuliwa wakiwa Hotelini.
Majamaa Wenye Risasi Walivamia Hoteli Mbili huko #Mpeketoni na Kuwaua watu hao.
Hayo Yalisemwa Na Deputy Commissioner Wa Eneo Hilo.
Poleni Sana Wakenya Na Mungu Awatie Nguvu Familia Za Jamaa Walioaga.
Kwa Habari Zaidi Zitakujia Kupitia Mchimbariziki.com


Dodoma



0 maoni:
Post a Comment